Madhila ya Faidha

TSH 5000.00 /=
Author:Faraja Ngwakira
Year Published: 2011
ISBN:9789987735778

Madhila ya Faidha ni hadithi ya kusimumua kwa vijana inayoweka mkazo juu ya kupinga unyanyapaa na ukatili unaofanyika dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi,albino.Faidha amezaliwa na ulemavu wa ngozi na amekuzwa katika familia yenye upendo na msimmo.Wazazi wake faidha walitafuta ukweli juu ya ualbino kwa wataalum ili waweze kumtunza Faidha vizuri na kuieliemsha jamii inayowazunguka.Pia walitaka kujua ni kwa nini wazazi ambao sio albino wanaweza kuzaa mtoto albino. Wazazi wa Faidha wanafanikiwa.Faidha anafanya vizuri katika masomo na ana kipaji cha uchoraji ambacho kinailetea shule sifa.Katika maisha ya kila siku,Faidha anakumbana na vikwazo vingi na wakati mwingine maisha yake yanakuwa hatarini. Fuatilia kisa hiki..

Similar Children Kiswahili Titles Reader

Sale product image
Sale product image

Ndoto ya Upendo

TSH: 65000.00

Sale product image

Cloud/ Mawingu

TSH: 6000.00

Sale product image

Madhila ya Faidha

TSH: 5000.00

Sale product image

Sosu

TSH: 6000.00

Sale product image

Wimbo wa Tizo

TSH: 5000.00

Sale product image

Maji Bila Ukomo

TSH: 6500.00

Sale product image

Nataka Keki Yangu

TSH: 5000.00

Sale product image

Redio

TSH: 5000.00

Sale product image
Sale product image
Sale product image

Nipe Jina

TSH: 6000.00

Sale product image

Jongoo na Tandu

TSH: 5000.00

Sale product image

Bata Wetu

TSH: 5000.00

Sale product image

Jamila na Kamali

TSH: 5000.00

Sale product image

Televisheni

TSH: 4000.00

Sale product image
Sale product image

Kunganyira

TSH: 4000.00

Sale product image

Godoro la Ajabu

TSH: 5000.00

Sale product image

Wekundu Angani

TSH: 5000.00

Sale product image

Utenzi wa Kunguru

TSH: 5000.00

Sale product image
Sale product image

Utenzi wa Kunguru

TSH: 5000.00

Sale product image

Poki

TSH: 5000.00

Sale product image

Almasi na Jitu

TSH: 5000.00

Sale product image

Mkate Mtamu

TSH: 65000.00