Watoto wa Fisi Kijivu walifuta machozi baada ya baba yao kufariki. Sasa walikuwa watoto yatima.Kulikuwa hakuna wosia wa kusoma,kwa hiyo watoto hawakujua kuwa wameachiwa urithi wa shamba na nyumba. Je,Baba yao mdogo atawapa urithi huo kwa hiari kama alivyoahidi?Ni nini kitatokea kwa wanafisi? Soma hadithi hii uweze kujua mambo Fisi Madoa aliyowatendea watoto wa kaka yake..